Prof. Ndalichako agawa magari 38 yenye thamani ya Sh. Bilioni 6.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako leo 31 Machi, 2021 amegawa magari 38 yenye thamani ya Sh. Bilioni 6 kwa Wathibiti Ubora wa Shule wa Kanda na Wilaya kwa lengo la kuimarisha shughuli za uthibiti ubora wa shule nchini. Akizungumza Jijini Dodoma katika hafla fupi ya ugawaji wa magari hayo, amesema suala